Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.
Yaani wanaumeee unaua mwenzio kwa ajili ya mwanamke tu ambaye kuna siku mnaweza kuachana kama mke akusikilizi simuachane tu ili maisha yaendelee mama pole sana
Lazima nicheke 😂😂😂 Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂 Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.
@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba
Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa
Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!
Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.
Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi
Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana
Wewe ndo hujaelewa ndugu mama Yuko sawa amesema kwenye ndoa nimiaka 20 kwahio hio mitano walikuwa wanaishi kinyumba ndoa haikuepo so mtoto wakwanza amezaliwa ndoa ikiwa haijafungwa Yuko sahihi mama wakimbulu
Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi
Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako
Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.
Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa
Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.
Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.
sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud
Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢
Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.
Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.
Sema tu mama siku yake haijafika maana muuaji akishajulikana anahakikishaga amemuua aliyemtambua. Ujasiri wa huyu mother umetisha aisee hakujali kuwa ni usiku, angeweza kubakwa hata kuuwawa kabisa na waliomuua mumewe.
Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye
Itoshe kusema uzinzi ni zambi yenye raana ,iwe ni mume wa mtu au mtu yoyote ,asilimia nyingi binadam anaeitumia hii starehe ya uzinzi usalama wake ni mdogo Sana,shetani asitujaze ujasili wa kuiishi zambi hii, jamani uzinzi ni kizuizi Cha amani na usalama Kwa yeyote mwenye kuitenda zambi hii
Daaaa mama unaujasiri sana unaenda seem ya tuko usiku wa saa tatu na vijijin uko sasa na wewe ungekuuwa ingekuwaje jmn mhhh kuna la kujifunza hapa aise
Mnamlaumu huyu mama bure ,, mwanaume unamwambia nimesikiaa unatembea na mtu fulani anakutukana na kipigo juuuu,,,, ety leo amepata alichokitakaaa nianzeee lia liaaa ,siweziiii jmn ntamuombea tu aende salama
Huyu mama anajuana na hao watu kama hajuani?? Mbona alipigiwa simu na asimtafte mwenyekiti aende nae?? Kwanza ana roho ngumu sana yupo na hao watu hyu maeleze yake sio ya kweli kabisa sheria imwangalie vizuri hyu mama
Hakuna njama yoyote,huyo mama ni mkweli hasa.. ameonyesha ujasiri mapema ili kuwapa imani watoto wake kwamba wako mikono salama,lakini kutuma ujumbe kwa shemeji zake wasifikirie kumrithi.. huwa wanafundwa kabla ya ndoa.. UJASIRI
Watu wanatamah jmn mtu unamke unaenda kuangaika na wanawake zawatu wakazigan tanaume wa tz hacheni tamaha ridhikini na wake zenu na wanawake ridhiken na wanaume zenu kwa ujumla mturie uriopo kwenye ndoa
Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote
Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo ................................................... . Hakupiga simu hata Police #Wazee wa #Cuba
Mnaotaka huyu mama aliye machozi mnamaana gani ? Kulia inaashiria nini sasa wakati kufa ni kawaida na kifo kila mtu anastyle yake ya kufa ..... Kulialia ni unafiki tu na waliao ndio husahau haraka sana......mwacheni mama wa watu tafadhali.
Huyo muuwaji ni mpumbavu sana au ana matatizo ya akili ni mtu mpumbavu ndio anaweza kuuwa mtu kwa ajili ya mwanamke, sasa amepata faida ipi hapo ni ataozea jela na atahukumiwa kunyongwa Hadi kufa huku mke wake yuko nje free na atapata mwanaume mwingine kimapenzi
Dudie kata ya ari tukio la kitongoji cha merasi mm kama mwana forensic nadhani huyu mama ndiye mshatakiwa wa kwanza wa hili jambo la mume wake kuuwawa na polisi wanabidi wafuatilie kwanza mawasiliano ya pande zote mbili wapate cdr na kisha watajua ukweli unaoendelea
@@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza
WATANZANIA TUACHE UZINZI JÄMANI. HIVI HILI JINI LA UZINZI MBONA LIMETÄWALA SANAA HAPA NCHINI?. CHA KUSHANGAZA MTU ANAJUWA KABISA HUYU MWANAUME, AU MWANAMKE AMEOLEWA /KAOWA, LAKINI BADO UNATAKA KUWA NAYE ,HII NDO MATOKEO YA HUO UZINZI WETU. JAMANI SHETANI NI MWONGOOO.
Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.
Yaani wanaumeee unaua mwenzio kwa ajili ya mwanamke tu ambaye kuna siku mnaweza kuachana kama mke akusikilizi simuachane tu ili maisha yaendelee mama pole sana
Mke anauma ww
Mungu akupe nguvu. Umeonyesha ushujaa, nguvu na uvumilivu bila kutoa lawama kwa mumeo. Ubarikiwe sana.
MAMA UMEONGEA VIZURI SANAA. NA NIMEKUPENDA KWA UJASIRI WAKO. MUNGU AENDELEE KUKUTIA NGUVU.❤❤❤
😊
Unauwa mwanaume mwenzio kwa sababu ya umalaya wa mkeo?utauwa wangapi?
Lazima nicheke 😂😂😂
Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂
Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.
@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba
Hatar sana 😭
thank you
Hatari sana. Damu ya mtu ni issue
Mama ni jasiri sana ndio wanawake wanatakiwa wawe hivi na ni ana akili sana yuko smart angepiga yowe na kuanza kulia angeuwawa labda Na huyo muuwaji,
Wanawake pia wanachoka matukio ya kwenye ndoa uyo mam mme wake angekuwa na mapenzi ya dhat leo asingepata ata nguvu za kuongea tujitaid kuwa waamnifu
Hii ni kweli. Kuna muda mtu unaptia had unafkia mahali likitokea jambo zito kama hili unaona sawa tu. Siri ya mtungi ajuae.......
Pole mama ,umeshuhudia kifo kichungu cha mumeo😢😢😢
Duuuh mama unaujasiri wa hali ya juu zaidi .
Pole sana 😢
Ameshachoka natabia za mume wake, kashakuwa sugu 😢😢
Inakatosha tamaa ukioa kuwa na heshima kwa mke ,Kama alishaonywa lkn akusikia basi Mungu amejibu maombi ya mama huyu
Mama Pole sana..But Mama mbona kama anaona Sawa kwa kilichotokea..hii ni kutokana na Kuchoshwa na Tabia za Mume
Huyo ni mama wa kiiraki huwa wanaujasiri sana
Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa
Point na moyo wa mwanamke ukichoka acha kabisa
Iyo ndyo dawa unajikuta mwamba kwa mke wa m2
Kweli kabisa
kabisa huyu mama anampenda sana mume we ila anaonekana alivumilia sana kuchitiwa mpaka akasema bora liende too bad, dhambi ikikomaa huzaa mauti
Hana roho ngumu ni jasiri tu
Nyie wabongo mnadhani kila kijiji Tz hii kuna polisi, kuna maeneo police wapo mbali sana tembeeni hii nchi kubwa sana
Indeed
Kweli
Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!
Mke wa mtu sumu ndio hii sasa
Kabisa mwanangu, mke wa mtu mheshimu sana
Tatizo ni kujifanya weye ni mtombaji mzuri kuliko mwnye mke, faide ndo hyo alioipata akati alishakuonya......
Hata kama siyokwastail hiyo😢
Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.
Ila mama ana ujasiri😢😢😢😢wooiiyeee .mama pole tena
Mama una ujasiri Mungu akusaidie tuweni waaminifu kwenye ndoa zetu
Hii kalii na kuna anaewatch hapa na bado anakaa na mke wa mtu😂😂😂😂
😂😂😂😂😊
Mama alichoka Sana na tabia za mume.
Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi
Innallillah wainnalillah rajiun 😢 MUNGU TUPE MWISHO MWEMA
Mama anabusara za kutosha.pole mama
wee mungu wanguu mama pole unaujasiri sana wewe superhuman wewendioukonauchungu kuliko yule anaeliakwakelele wewe unalia ndaniyamoyo polesana
Mungu nilindie mume wangu
Mruhusu aoe mke mwingine akihatija usiwe na shida asije akatoka nje ya ndoa
@@Bmsecretsio kweli wapo wameoa wengi na bado vimada kibao nje, Mungu tu aturehemu basi
@@bintiwayesu2226 mruhusu mume aoe bila hivo Anna nusura utakuwa na mwenza tu
@@Bmsecret sio mm wa kumruhusu au kutomruhusu kiapo chake anakijua mwenyewe hiari yake kukiishi au kukivunja
@@bintiwayesu2226 uislam hauna Kiapo lazima ana nafasi tatu
Daah 😭😭amekufa Kwa maumivu makali mno,pole sana dada,mwisho wa dunia umefika jamani
Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana
Walizaa nje ya ndoa baadae wakafunga ndoa, hakujichanganya amesema ukweli wake
Cha ajabu kipi,alimzaa kabla ya ndoa yao
Kwenye ndoa ya kanisan anamanisha itakuwa
Wewe ndo hujaelewa ndugu mama Yuko sawa amesema kwenye ndoa nimiaka 20 kwahio hio mitano walikuwa wanaishi kinyumba ndoa haikuepo so mtoto wakwanza amezaliwa ndoa ikiwa haijafungwa Yuko sahihi mama wakimbulu
Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi
Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako
Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.
Shida inakujaga mtu anakuchukulia mke alafu anakuonyeshea na dharau tena akiwa ana ka kitengo ndo kabisaaaa so watu tujifunze
Yaani uwii nitembee na wauaji fimbo ,panga ,nilidhani huko mbele angekimbia maana kama si nae kuuwawa basi angebakwa ,huu ni ujasiri mkubwa aisee
Unayempenda akiwa kwenye matatizo huwezi kuogopa kabisa
Asee kwakwely hat me nmewaza ivyo jmn😢
Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa
Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.
Daaa kweli Bibiliya inasema mshahara wahzambi ni mauti pole dd mfiwa
Kwanza huna roho ngumu sana ww mama kumbe taarifa ulikuwa nayo kwann usitoi taarifa kituo cha police kabla ujaenda uko daaaaah😢
Mama pole sna mungu akulinde na akupe faraja
Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.
sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud
Ni kweli yaan alvyomuuliza una nifaham angesema tu ndio wangemuua ila yey alimjib hapana skufaham, daaa maskin
@@Sharefa-v6n Hana uzalendo wa kitz uyu mumama🙄🥺🙌
Yani huyu nae alikua anauwawa
Ni kwa Neema tu za Mungu 😢😢
Alipaswa afatwe na watu nyuma yake
Mama anaongea kwa ujasiri alicho nifuraisha ni kauli yake ya kuwa kilicho mpata yuko tayari kwa jambo lolote litakalo mpata mbele
Nimekupenda bure mama yangu ambae pia ni wajina wangu.pole sana Mungu akutie nguvu.jmn wanaume toshekeni na wake zenu
Mama Mungu ampe nguvu katika kipindi iki kigumu
Hiyo ni wivu ya maendeleo, mpaka pikipiki,amemuonea baba wa watu, Kuna watu wako hivyo, Sasa ataishi Tena na huyo nwanamke, ni kwamba watafia jela,
Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢
Ata mm nmewaza km weww ushujaa wakwenda mwenyew Tena usiku ata asishirikishe jeshi la police uyu mama apana
@@ZubedaHussein-it7nf kuna kitu ndani yake usikute na yeye aliusika kikamilifu
hv wanaume mnaumiga sanaaa mkifumania?mbona nyie mnachirt sanaa
Jaman nawafahamu mbona aibu omg rip sadiki
Mimbona cjawahi kuchepuka tokaniolewe ninamiaka 7 nahuastamani kulala na mwanaume yoyote zaidi ya mumewangu ❤️
Hongera
Daa boda na na huyo mama hawakutumia mbinu za kivita kwenda eneo la tukio na wahalifu .....walienda bila tahadhari hata wao wangeweza kudhurika.
Imagjne na Mungu tu moyoni
Yaaan , mungu anawapenda
Sana
Watu wa manyara na singinda wanajua sana pande za Dunia,mashariki,magharibi,kaskazini,kusini
😂😂😂
Na wagogo pia. Ni hatari kwa kujua directions
😂😂😂😂
Wagogo ni balaaaa 😂😂
POLISI WA MAMA SAMIA OYEEE👀👀👀!
Namba ya polis IPO bure ungepiga cm Askar wawe karibu kwa kuwa manyara ni ndogo
Jamaniiii funia imeisha nyie wanawake na wanaume wamechoka sana kitabia na kiroho aiseeeee duh,,🙏🙏🙏🙏
Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.
Mama nijasir. Sanapole sana mungu awe mwema jaman
Huyu mama kwanini hakwenda hata na Maaskari au hata Wagambo?
Wanawake tutulie kwenye ndoa zetu jamani mwanaume bora umuibie pesa kuliko kuiba tamu yake uwiiiii tusifanye ivo jamani
😂😂😂
Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.
Kafanya vizuri shenz
Yani huyu mama anavyosimulia mm uku nasisimkwaa, haki me nisingeenda uo usiku anichinje na mm weeeh huku mama ni malaika sio binadam 😢
Pole sna mama ww mhmm
Sema tu mama siku yake haijafika maana muuaji akishajulikana anahakikishaga amemuua aliyemtambua. Ujasiri wa huyu mother umetisha aisee hakujali kuwa ni usiku, angeweza kubakwa hata kuuwawa kabisa na waliomuua mumewe.
Muuaji hakuwa smart , amemua kishamba mno.mno yote hayo ni.laana tu
Mke wa mtu sumu😢😢😢
Uyu mama mshamba sana!! Asa kwann kabla ya kwenda angepiga yowe aende na vijana!!! Amezingua uyuuuu
Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye
Usizin wewe harafu alaumiwe mkeo jinga kabisa, mjiepushe na wake za watu
Itoshe kusema uzinzi ni zambi yenye raana ,iwe ni mume wa mtu au mtu yoyote ,asilimia nyingi binadam anaeitumia hii starehe ya uzinzi usalama wake ni mdogo Sana,shetani asitujaze ujasili wa kuiishi zambi hii, jamani uzinzi ni kizuizi Cha amani na usalama Kwa yeyote mwenye kuitenda zambi hii
Ila uyu mama anahatari je wangemzuru alafu kumbe ilikua usiku daah hao watu wa manyara noma sana
Pole Maa mungu akupe subra
huyuuu mama duuu inaonyesha anaroho ya kisasi ndani duuuuu huo ujasili unatoka wapi
Daaaa mama unaujasiri sana unaenda seem ya tuko usiku wa saa tatu na vijijin uko sasa na wewe ungekuuwa ingekuwaje jmn mhhh kuna la kujifunza hapa aise
Mama ana ujasiri huyu duh jaman na alkuwa anampenda mme wake
Ampende nn , msaliti
@@mwanaidimussamwanamke lakini huna akili Sasa usaliti ndo auawe!wewe umekamilika??
Pole my dunia inatisha sana sk hizi
Limwanaume lilikua halisikii likiulizwa linamuambia huyu mama ndio
mama mujasli sanaa n zaid yajeshi upewe ulinzi
sidhani km ni ujasiri tu ni pamoja na usugu wa machungu mengi, pamoja na yote haikufaa kumuua baba wa watu kakosa ndio lkn kuuawa ni ukatili mkubwa
Na wanawake wa Kiiraqw nao wamezidi kuwa maji mara moja. Ukienda Manyara kuna vijiji au mitaa unaweza ukagonga wanawake wote,wahuni hadi wake za watu.
Baba alikufa kwa maumivu makali sanaaa
Ila wanaume daah . Hayatoshekag aya mambuz ata umpe matako kaz bure tu . Mungu atunusur
Mnamlaumu huyu mama bure ,, mwanaume unamwambia nimesikiaa unatembea na mtu fulani anakutukana na kipigo juuuu,,,, ety leo amepata alichokitakaaa nianzeee lia liaaa ,siweziiii jmn ntamuombea tu aende salama
Kwakweli inauma unajua mumeo anatembea na fulan ukiiliza matusi kipigo inauma hatarii
Huyu mama anajuana na hao watu kama hajuani?? Mbona alipigiwa simu na asimtafte mwenyekiti aende nae?? Kwanza ana roho ngumu sana yupo na hao watu hyu maeleze yake sio ya kweli kabisa sheria imwangalie vizuri hyu mama
Elimu hakuna ila sidhan km Kuna njama na huyu mama ni jasiri mno aisee
Hakuna njama yoyote,huyo mama ni mkweli hasa.. ameonyesha ujasiri mapema ili kuwapa imani watoto wake kwamba wako mikono salama,lakini kutuma ujumbe kwa shemeji zake wasifikirie kumrithi.. huwa wanafundwa kabla ya ndoa.. UJASIRI
Watu wa kanda ya kaskazin akiri hawana kabisa wanawake kuwen makin kuolewa na makabila ya manyara.😢arusha na Mara
Eeh Mara Tena?😢
My dear dunia imeharibika Ni kumuomba tu mungu....
@@theresiachacha5180 ndiyo Yan uko mara ni mapanga TU bira huruma hamna tofaut na Arusha na manyara
kwa nn ukule wake za watu babuuuuuu
Sasa Mara imekujaje hapa na wewe..hii ni mtu kabila lolote inaweza kumpata,kikubwa kaeni mbali na wake za watu..simple hamna kanda katika hili
Duhhhhh kiuno kiuno kiuno
Pole sana mama
Duh mama jasiri
Watu wanatamah jmn mtu unamke unaenda kuangaika na wanawake zawatu wakazigan tanaume wa tz hacheni tamaha ridhikini na wake zenu na wanawake ridhiken na wanaume zenu kwa ujumla mturie uriopo kwenye ndoa
Aiseeeee😊
Rohooo inanimate jamanii uwiiiiii pole mama anguu daaaa
NYEGE HAZIJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA, SISI NI KUSUBIRI NA KUONA TU.
MUWAGE MNAACHA UMALAYA NA TAMAA
Ila usimuite mzoga mume wako so pw mamang
Alikuwa ashamchoka, mwanaume asiyemuaminifu moyoni hayupo hata kumuonea huruma.
Ila ww mama unaroho ngumu daaah sasa huyo muuwaji angekugeukia na ww mmmmm😭😭
Ujasiri Wake Umemuokoa Uyu Mama
Sana
Mhh huyu mama ni kasoro sana Kwa kweli
Mke wa mtu sumu ila hii imezidi 😢 pole sana.
Huyu mama alichoka sana na tabia chafu za mume wake
Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote
Kweli kama aliweza kuja na boda alishindwaje kwenda kuchukua police
Siooo kweli, sema Hana elimu yakutoshaaa ndo maan hakuwa na hofu anaenda enda tu
Alionywa lkn akajikuta mwamba mwache tu aende zake hata angekua mzima bado inaonyesha angeendelea kuitesa familia yake
Pole,sana
Muuaji ni mtu katili ndio maana hata Mke wake alikua anachepuka, ukafie jela na roho Lako la ukatili, na Mke wako ataolewa na mwanaume mwingine
Eeh mama by professional we ni nesi au doctor?
Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo
................................................... .
Hakupiga simu hata Police
#Wazee wa #Cuba
Yani mtu kama ww ndo nilikuwa nakutafuta apo nimekuelewa
Jamani waliyofanya hivyo cha moto mtakiona sii nimeona wanazoa mchanga hapo
Mnaotaka huyu mama aliye machozi mnamaana gani ? Kulia inaashiria nini sasa wakati kufa ni kawaida na kifo kila mtu anastyle yake ya kufa ..... Kulialia ni unafiki tu na waliao ndio husahau haraka sana......mwacheni mama wa watu tafadhali.
Huyo muuwaji ni mpumbavu sana au ana matatizo ya akili ni mtu mpumbavu ndio anaweza kuuwa mtu kwa ajili ya mwanamke, sasa amepata faida ipi hapo ni ataozea jela na atahukumiwa kunyongwa Hadi kufa huku mke wake yuko nje free na atapata mwanaume mwingine kimapenzi
na mie ndo ntakaye muoa huyo mkewe sasa😂
Ujasiri
Dudie kata ya ari tukio la kitongoji cha merasi mm kama mwana forensic nadhani huyu mama ndiye mshatakiwa wa kwanza wa hili jambo la mume wake kuuwawa na polisi wanabidi wafuatilie kwanza mawasiliano ya pande zote mbili wapate cdr na kisha watajua ukweli unaoendelea
Me namwangalia RUclips tu namuogopa uyu mama wallah maana mkavu aisee kweli uyo baba marehemu alikua anakaa na jarisi wa moyo wa mwanaume 😢😢😢
Alishamuumiza moyo baadaye ukafa ganzi
@@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza
@@trophywilson7211upo saii maana uyu aandka iv kama s mwanamke na mgen wa waune
@@trophywilson7211 umenene vyema, mwanaume anakpig matukio mpk unakuwa komando
Sasa ulitaka afanyaje?!
WATANZANIA TUACHE UZINZI JÄMANI. HIVI HILI JINI LA UZINZI MBONA LIMETÄWALA SANAA HAPA NCHINI?. CHA KUSHANGAZA MTU ANAJUWA KABISA HUYU MWANAUME, AU MWANAMKE AMEOLEWA /KAOWA, LAKINI BADO UNATAKA KUWA NAYE ,HII NDO MATOKEO YA HUO UZINZI WETU. JAMANI SHETANI NI MWONGOOO.