"MUME WAKO NILIMUONYA HAKUSIKIA, ANATEMBEA NA MKE WANGU, ILITUMIKA SIMU YAKE" MKE WA MWENYEKITI

Поделиться
HTML-код
  • Опубликовано: 28 мар 2025

Комментарии • 427

  • @summanelson5523
    @summanelson5523 Год назад +7

    Mama jasiri alienda bila kuogopa kuwa na yeye angeuawawa!!! Mama ana hekima sana sana!!!! Mwingine akiambia tu maneno angemvaa huyo mwanamke. Yeye kamuuliza tu kama ni kweli anatembea na mume wake!!! Mungu akutie nguvu mama na akuwezeshe kukabili haya maisha peke yako.

  • @lailafakhihaji
    @lailafakhihaji 3 месяца назад +10

    Yaani wanaumeee unaua mwenzio kwa ajili ya mwanamke tu ambaye kuna siku mnaweza kuachana kama mke akusikilizi simuachane tu ili maisha yaendelee mama pole sana

  • @TM-zs3rm
    @TM-zs3rm Месяц назад

    Mungu akupe nguvu. Umeonyesha ushujaa, nguvu na uvumilivu bila kutoa lawama kwa mumeo. Ubarikiwe sana.

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Год назад +49

    MAMA UMEONGEA VIZURI SANAA. NA NIMEKUPENDA KWA UJASIRI WAKO. MUNGU AENDELEE KUKUTIA NGUVU.❤❤❤

  • @MosesNyirenda-k8o
    @MosesNyirenda-k8o Год назад +48

    Unauwa mwanaume mwenzio kwa sababu ya umalaya wa mkeo?utauwa wangapi?

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад +5

      Lazima nicheke 😂😂😂
      Acha kutoa roho ya mwanaume mwezio, akileta umalaya fukuza weka mwengine, ila tatizo litakuja ule mgao wenu 50 kwa 50, utajenga na kugawa nyumba ngapi 😂😂😂
      Ahh!! Kwa hivyo bora uwa tu.

    • @goldmansun5859
      @goldmansun5859 Год назад

      ​@@Sheba4651andika mali zote jina la mama ako, weka safe Mali zote za kwako, kisha ishi, mwanamk akizingua tupa nje, mpe kidogo akajikidhi kimaisha, usikubal akukware kila kitu au hata robo ya nguvu zako unless una uwakika kaweka robo ya hivyo vitu, usiue mwanaume mwenzio, tupa nje hyo kahaba

    • @rogoyassin5
      @rogoyassin5 Год назад

      Hatar sana 😭

    • @KwizeLee
      @KwizeLee Год назад

      thank you

    • @laurentraphael5470
      @laurentraphael5470 11 месяцев назад

      Hatari sana. Damu ya mtu ni issue

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Год назад +21

    Mama ni jasiri sana ndio wanawake wanatakiwa wawe hivi na ni ana akili sana yuko smart angepiga yowe na kuanza kulia angeuwawa labda Na huyo muuwaji,

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 Год назад +19

    Wanawake pia wanachoka matukio ya kwenye ndoa uyo mam mme wake angekuwa na mapenzi ya dhat leo asingepata ata nguvu za kuongea tujitaid kuwa waamnifu

    • @JaneyChigga
      @JaneyChigga 3 месяца назад +1

      Hii ni kweli. Kuna muda mtu unaptia had unafkia mahali likitokea jambo zito kama hili unaona sawa tu. Siri ya mtungi ajuae.......

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +9

    Pole mama ,umeshuhudia kifo kichungu cha mumeo😢😢😢

  • @fhugghi4109
    @fhugghi4109 Год назад +31

    Duuuh mama unaujasiri wa hali ya juu zaidi .
    Pole sana 😢

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Год назад +1

      Ameshachoka natabia za mume wake, kashakuwa sugu 😢😢

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 11 месяцев назад +1

      Inakatosha tamaa ukioa kuwa na heshima kwa mke ,Kama alishaonywa lkn akusikia basi Mungu amejibu maombi ya mama huyu

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 Год назад +14

    Mama Pole sana..But Mama mbona kama anaona Sawa kwa kilichotokea..hii ni kutokana na Kuchoshwa na Tabia za Mume

    • @alexvenas2699
      @alexvenas2699 Год назад +6

      Huyo ni mama wa kiiraki huwa wanaujasiri sana

  • @sanoureyaliwadoakaroyo1696
    @sanoureyaliwadoakaroyo1696 Год назад +68

    Watu Wengi Wanamuona Uyuu Maama Kma Ana Roho Ngumu Ila Watu Wanashindwa Kuelewa Kuwa Uyuu Mama Amepokea Kesi Ngapi Za Mumewe Kutokuwa Mwaminivu Kwenye Ndoa Yake Uwenda Uyuu Mama Alichoka KUchitiwa Ndio Maana Unamuona Kma Hana Majuto Kwenye Msiba Huu Wa Mumewe Kwa Kesi Ya Kijinga Kma Hiii Hili Hali Alisha Mkanya Mume Wake Juu Ya Mke wa Mtu Ila Mume Alijifanya Mwamba Mnataka Uyuu Mama Atoe Machozi Ama Alie Mbele Ya Camera Sasa Ata Akilia Mbele Ya Camera Machozi Yake Yatabadilisha Nn Ili hali Tayari Mumewe Ameuwawa

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 Год назад +12

      Point na moyo wa mwanamke ukichoka acha kabisa

    • @sixmundleonard2135
      @sixmundleonard2135 Год назад +4

      Iyo ndyo dawa unajikuta mwamba kwa mke wa m2

    • @SefrozaMafuru
      @SefrozaMafuru Год назад

      Kweli kabisa

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 Год назад +5

      kabisa huyu mama anampenda sana mume we ila anaonekana alivumilia sana kuchitiwa mpaka akasema bora liende too bad, dhambi ikikomaa huzaa mauti

    • @bahatishabani1392
      @bahatishabani1392 Год назад +1

      Hana roho ngumu ni jasiri tu

  • @smallscaleminingsupplies9670
    @smallscaleminingsupplies9670 Год назад +29

    Nyie wabongo mnadhani kila kijiji Tz hii kuna polisi, kuna maeneo police wapo mbali sana tembeeni hii nchi kubwa sana

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Год назад +10

    Huyo marehemu kifo alichokutana nacho ni halali yake! Mke wa mtu kutembea naye sio habari njema hata kwa mungu! Hata kama ulimpenda vipi mme wake akigundua akakufuata nakukuonya! Achana na mke wake na umwombe msamaha!

    • @husseinkonz5192
      @husseinkonz5192 Год назад

      Mke wa mtu sumu ndio hii sasa

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 Год назад +1

      Kabisa mwanangu, mke wa mtu mheshimu sana

    • @patrickrueben5585
      @patrickrueben5585 Год назад +1

      Tatizo ni kujifanya weye ni mtombaji mzuri kuliko mwnye mke, faide ndo hyo alioipata akati alishakuonya......

    • @almujibusalum-b8e
      @almujibusalum-b8e 3 месяца назад

      Hata kama siyokwastail hiyo😢

  • @godlovemwakalinga
    @godlovemwakalinga Год назад +5

    Wambulu ama wairaq wanaakili na ujasiri nyie msiwadharau wala kuwaita makaya ama kuwafanya chombo cha starehe mjini Mama hongera Kwa ujasiri na kauli zenye mashiko.

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +9

    Ila mama ana ujasiri😢😢😢😢wooiiyeee .mama pole tena

  • @ManaseMoleli
    @ManaseMoleli Год назад +24

    Mama una ujasiri Mungu akusaidie tuweni waaminifu kwenye ndoa zetu

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Год назад +17

    Hii kalii na kuna anaewatch hapa na bado anakaa na mke wa mtu😂😂😂😂

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Год назад +9

    Mama alichoka Sana na tabia za mume.

  • @AgnessMsacky
    @AgnessMsacky Год назад +4

    Mimi naona tunako elekea watu wataheshimu mahusiano y wtu mimi nimeshuhudia mahusiano ukiambiwa acha mahusiano y mke wangu hebu wacha usiendelee kutembea na mke wa mtu jamani musikiage mtu akikuonyA acha kama umefanya kweli watu hawaogopi

  • @halimasuddy9294
    @halimasuddy9294 Год назад +12

    Innallillah wainnalillah rajiun 😢 MUNGU TUPE MWISHO MWEMA

  • @AkwiliniQawoga
    @AkwiliniQawoga Год назад +4

    Mama anabusara za kutosha.pole mama

  • @aminaabdalla9949
    @aminaabdalla9949 Год назад +7

    wee mungu wanguu mama pole unaujasiri sana wewe superhuman wewendioukonauchungu kuliko yule anaeliakwakelele wewe unalia ndaniyamoyo polesana

  • @LizzyAdrianadriana
    @LizzyAdrianadriana Год назад +22

    Mungu nilindie mume wangu

    • @Bmsecret
      @Bmsecret Год назад +1

      Mruhusu aoe mke mwingine akihatija usiwe na shida asije akatoka nje ya ndoa

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 Год назад +4

      ​@@Bmsecretsio kweli wapo wameoa wengi na bado vimada kibao nje, Mungu tu aturehemu basi

    • @Bmsecret
      @Bmsecret Год назад

      @@bintiwayesu2226 mruhusu mume aoe bila hivo Anna nusura utakuwa na mwenza tu

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 Год назад +1

      @@Bmsecret sio mm wa kumruhusu au kutomruhusu kiapo chake anakijua mwenyewe hiari yake kukiishi au kukivunja

    • @Bmsecret
      @Bmsecret Год назад

      @@bintiwayesu2226 uislam hauna Kiapo lazima ana nafasi tatu

  • @jessicamwasandube944
    @jessicamwasandube944 Год назад +17

    Daah 😭😭amekufa Kwa maumivu makali mno,pole sana dada,mwisho wa dunia umefika jamani

  • @GoodluckAmos
    @GoodluckAmos Год назад +3

    Mama amehojiwa hadi akajichanganya jmn et nina miaka 20 kwenye ndoa, mtoto wetu wa kwanza ana miaka 25.. Wewe mama ni jasiri, leo inatakiwa iwe siku yako special. Maneno ya hekima mno dah Ubarikiwe sana

    • @steveanthon5523
      @steveanthon5523 Год назад +2

      Walizaa nje ya ndoa baadae wakafunga ndoa, hakujichanganya amesema ukweli wake

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Год назад +1

      Cha ajabu kipi,alimzaa kabla ya ndoa yao

    • @kelvinmasungakilunguja7539
      @kelvinmasungakilunguja7539 3 месяца назад

      Kwenye ndoa ya kanisan anamanisha itakuwa

    • @Hurbertchiristopher
      @Hurbertchiristopher 3 месяца назад

      Wewe ndo hujaelewa ndugu mama Yuko sawa amesema kwenye ndoa nimiaka 20 kwahio hio mitano walikuwa wanaishi kinyumba ndoa haikuepo so mtoto wakwanza amezaliwa ndoa ikiwa haijafungwa Yuko sahihi mama wakimbulu

  • @hasaniabdalah6148
    @hasaniabdalah6148 Год назад +4

    Da!! Mama mungu akuongoze na akupe faraja kwa kuwa wewe ni mama shujaa . Maisha yana mitihani mingi tunapaswa kujifunza mengi kutoka kwa maelezo ya mama huyu .😢 Ila nikirudi kwa walengwa wakuu wanaume hawa 2 . Muuliwa na na muuaji tukianza na muuliwa hayupo ila wawakilishi wake sikieni hili unapo tembea na mke wa mwenzio tambua maumivu mwenzio anayo pitia kwa kuonekana fala asie na lolote mbele ya jamii yake sishabikii jinai ila jiulize ingekuwa ni mkeo ungejisikiaje moyoni ?. 2 na huyu alie ua binafsi

    • @hasaniabdalah6148
      @hasaniabdalah6148 Год назад +1

      Na huyu Alie ua binafsi namhurumia kwa tendo ovu la kutokana hasira japo mke auma moyoni na utadhalaulika lakini heri maumivu ya kudhalilishwa usubirie hukumu ya Mungu kwa hyo mbaya wako kuliko kumhukumu wewe maana asaivi japo umeona umemalixa hasira yako lakini utaishi kwa majuto kuliko hata ungemwacha mke au ukamwachia Mungu akuhukumie jambo lako

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Год назад +3

    Binadamu tuna mioyo ya ajabu sana.Kuna haja gani ya kumuua mwanaume mwenzako kwa sababu ya mwanamke aliyekubali kuvua chupi mwenyewe kwa hiari yake? Ukijua kuwa mtu anakuchapia bora kumuachia tu huyo mwanamke,ubaki na amani yako.

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 11 месяцев назад

      Shida inakujaga mtu anakuchukulia mke alafu anakuonyeshea na dharau tena akiwa ana ka kitengo ndo kabisaaaa so watu tujifunze

  • @hopesefue9068
    @hopesefue9068 Год назад +7

    Yaani uwii nitembee na wauaji fimbo ,panga ,nilidhani huko mbele angekimbia maana kama si nae kuuwawa basi angebakwa ,huu ni ujasiri mkubwa aisee

    • @faithjonathan3845
      @faithjonathan3845 5 месяцев назад

      Unayempenda akiwa kwenye matatizo huwezi kuogopa kabisa

    • @AdellaTemu-e8q
      @AdellaTemu-e8q 3 месяца назад

      Asee kwakwely hat me nmewaza ivyo jmn😢

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Год назад +3

    Wenyeviti walio wengi wanakula wake za watu. Kuua sio sawa ila maumivu ya kuchukuliwa mke sikia kwa magazeti tu........ Tupinge ukatili wa aina zote wakuana na kuchukuliana wake.. Pande zote Story zimeniumaaa

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад +2

    Wewe mwandishi kiswahili shida , mama anasema tukio la kwanza lilikuwa linaonekana la kweli lkn serikali yakijiji hawakulitatuwa kwa haki , ndio maana likatokea hili la pili . according to nilivyomuelewa. Usikimbilie tu swali jingine ksbla haujaelewa jibu ulilopewa juu ya lakwanza.

  • @ADELADamus
    @ADELADamus 3 месяца назад +2

    Daaa kweli Bibiliya inasema mshahara wahzambi ni mauti pole dd mfiwa

  • @BabyMadoshi
    @BabyMadoshi 11 месяцев назад +1

    Kwanza huna roho ngumu sana ww mama kumbe taarifa ulikuwa nayo kwann usitoi taarifa kituo cha police kabla ujaenda uko daaaaah😢

  • @JohnMahu-f1g
    @JohnMahu-f1g 10 месяцев назад +1

    Mama pole sna mungu akulinde na akupe faraja

  • @mmarycalvin6395
    @mmarycalvin6395 Год назад +2

    Maswali mengine hayana maana. Mtu Ana machungu una muuliza ataishije kweliiii hata msiba haujaishaaa ? Au ulikuwa umeishaaa ??? Mboreshe kidogo kuhoji.

  • @jenipherjackson3826
    @jenipherjackson3826 Год назад +14

    sk zingine ndugu zangu watanzania ujasiri wa hivi tusije tukarudia kuufanya tena ujue ata uyu mama tungekua tunaomboleza misiba miwili sasa wangemuua je😮😳😳😳😳so sud

    • @Sharefa-v6n
      @Sharefa-v6n Год назад +1

      Ni kweli yaan alvyomuuliza una nifaham angesema tu ndio wangemuua ila yey alimjib hapana skufaham, daaa maskin

    • @jenipherjackson3826
      @jenipherjackson3826 Год назад

      @@Sharefa-v6n Hana uzalendo wa kitz uyu mumama🙄🥺🙌

    • @muddywatown
      @muddywatown Год назад

      Yani huyu nae alikua anauwawa

    • @ubongosahihi
      @ubongosahihi Год назад

      Ni kwa Neema tu za Mungu 😢😢

    • @jovanafidelis2802
      @jovanafidelis2802 11 месяцев назад

      Alipaswa afatwe na watu nyuma yake

  • @fidelismwakanyamale6787
    @fidelismwakanyamale6787 Год назад +5

    Mama anaongea kwa ujasiri alicho nifuraisha ni kauli yake ya kuwa kilicho mpata yuko tayari kwa jambo lolote litakalo mpata mbele

  • @PaulinaReginald
    @PaulinaReginald 3 месяца назад

    Nimekupenda bure mama yangu ambae pia ni wajina wangu.pole sana Mungu akutie nguvu.jmn wanaume toshekeni na wake zenu

  • @khasianussamson6227
    @khasianussamson6227 Год назад +5

    Mama Mungu ampe nguvu katika kipindi iki kigumu

  • @ChristinaWallasch
    @ChristinaWallasch Год назад +4

    Hiyo ni wivu ya maendeleo, mpaka pikipiki,amemuonea baba wa watu, Kuna watu wako hivyo, Sasa ataishi Tena na huyo nwanamke, ni kwamba watafia jela,

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Год назад +4

    Uyu mama alijiamini nini kwenda mwenye na niusiku itakua aliwatuma ndo wakamwita akatoe malipo itakua uyo mama anajua kila kitu mwanzo mwisho eti mzoga 😢

    • @ZubedaHussein-it7nf
      @ZubedaHussein-it7nf Год назад +2

      Ata mm nmewaza km weww ushujaa wakwenda mwenyew Tena usiku ata asishirikishe jeshi la police uyu mama apana

    • @Boniphaceshayo5
      @Boniphaceshayo5 Год назад

      @@ZubedaHussein-it7nf kuna kitu ndani yake usikute na yeye aliusika kikamilifu

  • @furahasmart1516
    @furahasmart1516 Год назад +4

    hv wanaume mnaumiga sanaaa mkifumania?mbona nyie mnachirt sanaa

  • @paskalinamassawe5283
    @paskalinamassawe5283 Год назад +10

    Jaman nawafahamu mbona aibu omg rip sadiki

  • @MariamuJuma-t8z
    @MariamuJuma-t8z 3 месяца назад +1

    Mimbona cjawahi kuchepuka tokaniolewe ninamiaka 7 nahuastamani kulala na mwanaume yoyote zaidi ya mumewangu ❤️

  • @josephjohn2114
    @josephjohn2114 Год назад +6

    Daa boda na na huyo mama hawakutumia mbinu za kivita kwenda eneo la tukio na wahalifu .....walienda bila tahadhari hata wao wangeweza kudhurika.

  • @ariphkimani3790
    @ariphkimani3790 Год назад +5

    Watu wa manyara na singinda wanajua sana pande za Dunia,mashariki,magharibi,kaskazini,kusini

  • @natafutamatatizo4382
    @natafutamatatizo4382 Год назад +3

    POLISI WA MAMA SAMIA OYEEE👀👀👀!

  • @ukhtyrehemaabdy2830
    @ukhtyrehemaabdy2830 5 месяцев назад +1

    Namba ya polis IPO bure ungepiga cm Askar wawe karibu kwa kuwa manyara ni ndogo

  • @sophialucasmilambo2783
    @sophialucasmilambo2783 5 месяцев назад +1

    Jamaniiii funia imeisha nyie wanawake na wanaume wamechoka sana kitabia na kiroho aiseeeee duh,,🙏🙏🙏🙏

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Год назад +2

    Jamani hio Tanzania imekidhiri mauaji yasiyonalazima.Yte hya nimapenzi uko tayari ukose amani ukose kuishi nawtoto wako yte ujinga nakujifanya hmjali Sheria hmjali kuwa Kuna Kuna maisha baada yhpo.Nivi nikitu Gani kikubwa kitakachokufanya umfanye binadamu mwenzio kma nyama.Embu uchukulie kwako.Unamuua binadu mwenzio kikatili hivyo.

  • @MwajumaYamee
    @MwajumaYamee 3 месяца назад

    Mama nijasir. Sanapole sana mungu awe mwema jaman

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Год назад +2

    Huyu mama kwanini hakwenda hata na Maaskari au hata Wagambo?

  • @jamilamfumike
    @jamilamfumike Год назад +3

    Wanawake tutulie kwenye ndoa zetu jamani mwanaume bora umuibie pesa kuliko kuiba tamu yake uwiiiii tusifanye ivo jamani

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Год назад +5

    Rombo kijana mmoja alimwambia mke wake,mpigie hawara yako mwambie aje mimi cpo.Mke skafanya hivyo hawara akaja akaingia ndani akijua atajivinjari na mke wa mtu,hawara akashambuliwa na mapanga akafia palepale tena mbele ndani.Mnaitwa tu mnaenda km kuku.

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Год назад

      Kafanya vizuri shenz

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft Год назад +1

    Yani huyu mama anavyosimulia mm uku nasisimkwaa, haki me nisingeenda uo usiku anichinje na mm weeeh huku mama ni malaika sio binadam 😢

  • @shukranitv2971
    @shukranitv2971 11 месяцев назад +1

    Pole sna mama ww mhmm

  • @VeronicaPaul-l8m
    @VeronicaPaul-l8m Год назад +1

    Sema tu mama siku yake haijafika maana muuaji akishajulikana anahakikishaga amemuua aliyemtambua. Ujasiri wa huyu mother umetisha aisee hakujali kuwa ni usiku, angeweza kubakwa hata kuuwawa kabisa na waliomuua mumewe.

    • @syliviakente9460
      @syliviakente9460 Год назад

      Muuaji hakuwa smart , amemua kishamba mno.mno yote hayo ni.laana tu

  • @Mohaa4309
    @Mohaa4309 Год назад +3

    Mke wa mtu sumu😢😢😢

  • @danielpeter8085
    @danielpeter8085 Год назад +1

    Uyu mama mshamba sana!! Asa kwann kabla ya kwenda angepiga yowe aende na vijana!!! Amezingua uyuuuu

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +2

      Mshamba ni wewe, hivi angejuaje kwamba angekuta mazingira hayo? Hayajakukuta, hiyo hali ni ngumu mnoo. Huyo mama bado hajaelewa kilichotokea,maumivu atayapata baadaye

    • @bahatielias6443
      @bahatielias6443 Год назад +2

      Usizin wewe harafu alaumiwe mkeo jinga kabisa, mjiepushe na wake za watu

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Год назад +1

    Itoshe kusema uzinzi ni zambi yenye raana ,iwe ni mume wa mtu au mtu yoyote ,asilimia nyingi binadam anaeitumia hii starehe ya uzinzi usalama wake ni mdogo Sana,shetani asitujaze ujasili wa kuiishi zambi hii, jamani uzinzi ni kizuizi Cha amani na usalama Kwa yeyote mwenye kuitenda zambi hii

  • @FatmaHalfan-w3l
    @FatmaHalfan-w3l Год назад +3

    Ila uyu mama anahatari je wangemzuru alafu kumbe ilikua usiku daah hao watu wa manyara noma sana

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 4 месяца назад

    Pole Maa mungu akupe subra

  • @frenkfarm1139
    @frenkfarm1139 Год назад +4

    huyuuu mama duuu inaonyesha anaroho ya kisasi ndani duuuuu huo ujasili unatoka wapi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Год назад +1

    Daaaa mama unaujasiri sana unaenda seem ya tuko usiku wa saa tatu na vijijin uko sasa na wewe ungekuuwa ingekuwaje jmn mhhh kuna la kujifunza hapa aise

  • @LizzyAdrianadriana
    @LizzyAdrianadriana Год назад +12

    Mama ana ujasiri huyu duh jaman na alkuwa anampenda mme wake

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Год назад +1

      Ampende nn , msaliti

    • @twiseghekisilu8845
      @twiseghekisilu8845 Год назад +1

      ​@@mwanaidimussamwanamke lakini huna akili Sasa usaliti ndo auawe!wewe umekamilika??

  • @stanleymhozi7590
    @stanleymhozi7590 Год назад +2

    Pole my dunia inatisha sana sk hizi

  • @habisnasalum-nz4zo
    @habisnasalum-nz4zo Год назад +2

    Limwanaume lilikua halisikii likiulizwa linamuambia huyu mama ndio

  • @ScolaMasanja-fg7hi
    @ScolaMasanja-fg7hi Год назад +3

    mama mujasli sanaa n zaid yajeshi upewe ulinzi

    • @bintiwayesu2226
      @bintiwayesu2226 Год назад

      sidhani km ni ujasiri tu ni pamoja na usugu wa machungu mengi, pamoja na yote haikufaa kumuua baba wa watu kakosa ndio lkn kuuawa ni ukatili mkubwa

  • @lukomanomaliki5442
    @lukomanomaliki5442 Год назад

    Na wanawake wa Kiiraqw nao wamezidi kuwa maji mara moja. Ukienda Manyara kuna vijiji au mitaa unaweza ukagonga wanawake wote,wahuni hadi wake za watu.

  • @judithminja6386
    @judithminja6386 Год назад +2

    Baba alikufa kwa maumivu makali sanaaa

  • @AishaDauban
    @AishaDauban 3 месяца назад

    Ila wanaume daah . Hayatoshekag aya mambuz ata umpe matako kaz bure tu . Mungu atunusur

  • @mwanaidimussa
    @mwanaidimussa Год назад +2

    Mnamlaumu huyu mama bure ,, mwanaume unamwambia nimesikiaa unatembea na mtu fulani anakutukana na kipigo juuuu,,,, ety leo amepata alichokitakaaa nianzeee lia liaaa ,siweziiii jmn ntamuombea tu aende salama

    • @listerlujiso6009
      @listerlujiso6009 Год назад

      Kwakweli inauma unajua mumeo anatembea na fulan ukiiliza matusi kipigo inauma hatarii

  • @joshuamollel6993
    @joshuamollel6993 Год назад +1

    Huyu mama anajuana na hao watu kama hajuani?? Mbona alipigiwa simu na asimtafte mwenyekiti aende nae?? Kwanza ana roho ngumu sana yupo na hao watu hyu maeleze yake sio ya kweli kabisa sheria imwangalie vizuri hyu mama

    • @ireneshao7950
      @ireneshao7950 Год назад +1

      Elimu hakuna ila sidhan km Kuna njama na huyu mama ni jasiri mno aisee

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Год назад +1

      Hakuna njama yoyote,huyo mama ni mkweli hasa.. ameonyesha ujasiri mapema ili kuwapa imani watoto wake kwamba wako mikono salama,lakini kutuma ujumbe kwa shemeji zake wasifikirie kumrithi.. huwa wanafundwa kabla ya ndoa.. UJASIRI

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 Год назад +11

    Watu wa kanda ya kaskazin akiri hawana kabisa wanawake kuwen makin kuolewa na makabila ya manyara.😢arusha na Mara

    • @theresiachacha5180
      @theresiachacha5180 Год назад

      Eeh Mara Tena?😢

    • @tinaminja5500
      @tinaminja5500 Год назад

      My dear dunia imeharibika Ni kumuomba tu mungu....

    • @elbaricktv1632
      @elbaricktv1632 Год назад

      @@theresiachacha5180 ndiyo Yan uko mara ni mapanga TU bira huruma hamna tofaut na Arusha na manyara

    • @musichealsTz
      @musichealsTz Год назад

      kwa nn ukule wake za watu babuuuuuu

    • @SefrozaMafuru
      @SefrozaMafuru Год назад

      Sasa Mara imekujaje hapa na wewe..hii ni mtu kabila lolote inaweza kumpata,kikubwa kaeni mbali na wake za watu..simple hamna kanda katika hili

  • @mwitajoseph8315
    @mwitajoseph8315 Год назад +3

    Duhhhhh kiuno kiuno kiuno

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Год назад +7

    Pole sana mama

  • @yama_virginhairthequeen1065
    @yama_virginhairthequeen1065 Год назад +2

    Duh mama jasiri

  • @MsNajma-e6e
    @MsNajma-e6e Год назад

    Watu wanatamah jmn mtu unamke unaenda kuangaika na wanawake zawatu wakazigan tanaume wa tz hacheni tamaha ridhikini na wake zenu na wanawake ridhiken na wanaume zenu kwa ujumla mturie uriopo kwenye ndoa

  • @judithminja6386
    @judithminja6386 Год назад +2

    Aiseeeee😊

  • @MwanahamisiBwanga
    @MwanahamisiBwanga 6 месяцев назад +1

    Rohooo inanimate jamanii uwiiiiii pole mama anguu daaaa

  • @mussaissa6796
    @mussaissa6796 3 месяца назад

    NYEGE HAZIJAWAHI KUMUACHA MTU SALAMA, SISI NI KUSUBIRI NA KUONA TU.

  • @benjaminchakwe9815
    @benjaminchakwe9815 Год назад +3

    MUWAGE MNAACHA UMALAYA NA TAMAA

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko Год назад +3

    Ila usimuite mzoga mume wako so pw mamang

    • @linnetmbotto7212
      @linnetmbotto7212 11 месяцев назад

      Alikuwa ashamchoka, mwanaume asiyemuaminifu moyoni hayupo hata kumuonea huruma.

  • @hadijauledi6995
    @hadijauledi6995 Год назад +2

    Ila ww mama unaroho ngumu daaah sasa huyo muuwaji angekugeukia na ww mmmmm😭😭

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Год назад +8

    Ujasiri Wake Umemuokoa Uyu Mama

  • @carolinemariki4029
    @carolinemariki4029 Год назад +1

    Mhh huyu mama ni kasoro sana Kwa kweli

  • @nurdinsalum7041
    @nurdinsalum7041 Год назад +7

    Mke wa mtu sumu ila hii imezidi 😢 pole sana.

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc Год назад +8

    Huyu mama alichoka sana na tabia chafu za mume wake

  • @roswitaexavery3378
    @roswitaexavery3378 Год назад +2

    Yaani namimi mwenyewe nashangaa unaongozanaje namauwaji halafu hustuki Mimi nahisi hata huyo mwanamke alifurahi mumwe kufanyia hivo au walishauriana yaani huyu mwanamke alishirikishwa katika haya matukio yote

    • @ShukuruHassani-mw3uo
      @ShukuruHassani-mw3uo Год назад +1

      Kweli kama aliweza kuja na boda alishindwaje kwenda kuchukua police

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Год назад

      Siooo kweli, sema Hana elimu yakutoshaaa ndo maan hakuwa na hofu anaenda enda tu

  • @RoseKaiza-g2j
    @RoseKaiza-g2j Год назад +1

    Alionywa lkn akajikuta mwamba mwache tu aende zake hata angekua mzima bado inaonyesha angeendelea kuitesa familia yake

  • @ShakiraAthumani
    @ShakiraAthumani Год назад +1

    Pole,sana

  • @darajalakidatukilomgi2362
    @darajalakidatukilomgi2362 Год назад +1

    Muuaji ni mtu katili ndio maana hata Mke wake alikua anachepuka, ukafie jela na roho Lako la ukatili, na Mke wako ataolewa na mwanaume mwingine

  • @olivernyange2349
    @olivernyange2349 Год назад +1

    Eeh mama by professional we ni nesi au doctor?

  • @Commentsplus
    @Commentsplus Год назад +1

    Mama haliii mumewe kafa kwa sababu inaonekana alikua alishamchoka mumewe hata mission usikute na yeye yumo
    ................................................... .
    Hakupiga simu hata Police
    #Wazee wa #Cuba

    • @Happy-ef9kf
      @Happy-ef9kf 6 месяцев назад

      Yani mtu kama ww ndo nilikuwa nakutafuta apo nimekuelewa

  • @joyceatupele8848
    @joyceatupele8848 6 месяцев назад

    Jamani waliyofanya hivyo cha moto mtakiona sii nimeona wanazoa mchanga hapo

  • @loner_wolf
    @loner_wolf Год назад

    Mnaotaka huyu mama aliye machozi mnamaana gani ? Kulia inaashiria nini sasa wakati kufa ni kawaida na kifo kila mtu anastyle yake ya kufa ..... Kulialia ni unafiki tu na waliao ndio husahau haraka sana......mwacheni mama wa watu tafadhali.

  • @Kabwela776
    @Kabwela776 Год назад +1

    Huyo muuwaji ni mpumbavu sana au ana matatizo ya akili ni mtu mpumbavu ndio anaweza kuuwa mtu kwa ajili ya mwanamke, sasa amepata faida ipi hapo ni ataozea jela na atahukumiwa kunyongwa Hadi kufa huku mke wake yuko nje free na atapata mwanaume mwingine kimapenzi

    • @musichealsTz
      @musichealsTz Год назад

      na mie ndo ntakaye muoa huyo mkewe sasa😂

  • @jescajulius8023
    @jescajulius8023 Год назад +2

    Ujasiri

  • @JosephMoses-y5p
    @JosephMoses-y5p Год назад

    Dudie kata ya ari tukio la kitongoji cha merasi mm kama mwana forensic nadhani huyu mama ndiye mshatakiwa wa kwanza wa hili jambo la mume wake kuuwawa na polisi wanabidi wafuatilie kwanza mawasiliano ya pande zote mbili wapate cdr na kisha watajua ukweli unaoendelea

  • @AminaLibisa
    @AminaLibisa Год назад +11

    Me namwangalia RUclips tu namuogopa uyu mama wallah maana mkavu aisee kweli uyo baba marehemu alikua anakaa na jarisi wa moyo wa mwanaume 😢😢😢

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Год назад +8

      Alishamuumiza moyo baadaye ukafa ganzi

    • @AminaLibisa
      @AminaLibisa Год назад

      @@trophywilson7211 so kweli Kwa uyo kama ayo mambo yalisha muumiza angesema hana subra kabisa ujasiri tu amejaghaliwa me siwezi ata kama iweje ni Bora niondoke kama ni ivyo ata kuua anaweza

    • @eggysulle7988
      @eggysulle7988 Год назад

      ​@@trophywilson7211upo saii maana uyu aandka iv kama s mwanamke na mgen wa waune

    • @mwanaidimussa
      @mwanaidimussa Год назад

      @@trophywilson7211 umenene vyema, mwanaume anakpig matukio mpk unakuwa komando

    • @jacklinemyala8194
      @jacklinemyala8194 Год назад +1

      Sasa ulitaka afanyaje?!

  • @valenakomba7686
    @valenakomba7686 Год назад +1

    WATANZANIA TUACHE UZINZI JÄMANI. HIVI HILI JINI LA UZINZI MBONA LIMETÄWALA SANAA HAPA NCHINI?. CHA KUSHANGAZA MTU ANAJUWA KABISA HUYU MWANAUME, AU MWANAMKE AMEOLEWA /KAOWA, LAKINI BADO UNATAKA KUWA NAYE ,HII NDO MATOKEO YA HUO UZINZI WETU. JAMANI SHETANI NI MWONGOOO.